Original price was: KSh1,290.KSh890Current price is: KSh890.
Mara nyingi vizazi hufasiriwa kama dhana isiyovutia, au mbaya zaidi, inayochosha. Hata hivyo, kitabu kipya cha Dkt Abraham Park, Vizazi katika Kitabu Cha Mwanzo: Utawala wa Mungu katika Historia ya Ukombozi kinaonyesha umuhimu mkubwa na hata furaha ya kusoma kwa kina kuhusu vizazi katika Biblia. Msingi dhabiti ni muhimu kwa muundo wowote ule. Hivyo basi ni kweli kwamba Kitabu cha Mwanzo ni msingi imara wa imani yetu ya kibiblia. Kitabu cha Mwanzo si msingi tu wa kuielewa mianzo yetu, bali pia ni msingi wa kujielewa sisi na vilevile kuuelewa uhusiano wetu na Mungu, na watu wengine. Ni dhahiri kuwa hatuwezi kuupuza umuhimu wa Kitabu cha Mwanzo kama kielelezo cha msingi cha kutafakari kwa Wakristo wote. Dkt Abraham Park anastahili kupongezwa kwa mchango wake wa maana na thamani katika kuelewa kwetu kuhusu msingi wa kitabu hiki.
100 in stock
Description
Mara nyingi vizazi hufasiriwa kama dhana isiyovutia, au mbaya zaidi, inayochosha. Hata hivyo, kitabu kipya cha Dkt Abraham Park, Vizazi katika Kitabu Cha Mwanzo: Utawala wa Mungu katika Historia ya Ukombozi kinaonyesha umuhimu mkubwa na hata furaha ya kusoma kwa kina kuhusu vizazi katika Biblia. Msingi dhabiti ni muhimu kwa muundo wowote ule. Hivyo basi ni kweli kwamba Kitabu cha Mwanzo ni msingi imara wa imani yetu ya kibiblia. Kitabu cha Mwanzo si msingi tu wa kuielewa mianzo yetu, bali pia ni msingi wa kujielewa sisi na vilevile kuuelewa uhusiano wetu na Mungu, na watu wengine. Ni dhahiri kuwa hatuwezi kuupuza umuhimu wa Kitabu cha Mwanzo kama kielelezo cha msingi cha kutafakari kwa Wakristo wote. Dkt Abraham Park anastahili kupongezwa kwa mchango wake wa maana na thamani katika kuelewa kwetu kuhusu msingi wa kitabu hiki.
-
Nine Marks of a Healthy Church By Mark Dever
KSh790 Add to cart -
Sale!
Bible Companion H/C
Original price was: KSh1,990.KSh1,950Current price is: KSh1,950. Add to cart -
Local Literacies: Theory and Practice
KSh4,500 Add to cart -
Morphology and Syntax: Tools for Analyzing the World’s Languages
KSh4,500 Add to cart -
Taking God At His Word: Why the Bible Is Knowable, Necessary, and Enough, and What That Means for You and Me
KSh790 Add to cart